forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
475 B
Markdown
20 lines
475 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza.
|
||
|
|
||
|
# mlima mtakatifu
|
||
|
|
||
|
"Mlima mtakatifu" ni Mlima Sayuni, katika Yerusalemu. "katika mlima mtakatifu wote wa Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# ambao huandaa meza ... na kujaza vikombe vya divai kwa divai iliyochanganywa
|
||
|
|
||
|
Watu huleta chakula na kinywaji na kuviweka mbele ya sanamu kama sehemu za ibaada yao.
|
||
|
|
||
|
# divai iliyochanganywa
|
||
|
|
||
|
divai iliyochanganywa na viungo
|
||
|
|
||
|
# Bahati ... Hatma
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya miungu ya uongo. Pia wanaitwa "Gadi" na "Meni".
|