forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
764 B
Markdown
16 lines
764 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Watu wa Israeli wanaendelea kuzungumza.
|
||
|
|
||
|
# Yahwe, kwa nini unatufanya tuzurure kutoka katika njia zako na kuifanya mioyo yetu kuwa migumu, ili kwamba tusikutii wewe?
|
||
|
|
||
|
Hapa mwandishi anatumia swali kuelezea lalamiko la watu wa Mungu. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Yahwe umetufanya tuzurure kutoka katika njia zako na kuwa wakaidi ili kwamba tusikutii"
|
||
|
|
||
|
# kwa nini unatufanya tuzurure kutoka katika njia zako
|
||
|
|
||
|
Kutofanya kile ambacho Yahwe anaamuru inazungumziwa kana kwamba mtu anazurura kutoka katika njia sahihi. "kwa nini unatufanya kufanya kilicho kibaya"
|
||
|
|
||
|
# kuifanya mioyo yetu kuwa migumu
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana kutoweza kukataa mafundisho ya Yahwe kwa kukataa kusikiliza na kutii. Hapa "moyo" unawakilisha nia, hisia na shauku zao.
|