forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
485 B
Markdown
12 lines
485 B
Markdown
|
# Kwa ajili ya Sayuni sitanyamaza, na kwa ajili ya Yerusalemu sitakaa kimya
|
||
|
|
||
|
Kauli hizi mbili zina maana moja. Hapa "Sayuni" na "Yerusalemu" zote zinawakilisha watu wanaoishi katika Yerusalemu. "Kwa ajili ya watu wa Yerusalemu sitanyamaza"
|
||
|
|
||
|
# sitakaa kimya
|
||
|
|
||
|
Inawezekana ya kwamba "sitakaa" ina maana ya Isaya
|
||
|
|
||
|
# mpaka utakatifu wake utakapojitokeza
|
||
|
|
||
|
Vishazi hivi viwili vinaaminisha watu wa Mungu hatimaye kurudi na kuokoa watu wa Israeli na kwamba itakuwa dhahiri kama mwanga ulivyo.
|