forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
444 B
Markdown
12 lines
444 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# hayatafungwa mchana na usiku
|
||
|
|
||
|
Hapa "mchana" na "usiku" pamoja ina maana ya "wakati wote". Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "hakuna atakayeweza kuvifunga"
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba utajiri wa mataifa uweze kuletwa, na wafalme wake wakiwa wameongozwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "ili kwamba watu wa mataifa waweze kuleta utajiri wao, pamoja na wafalme wao"
|