forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
778 B
Markdown
24 lines
778 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Hawa ni kina nani wanaopaa kama wingu, na kama njiwa katika makazi yao?
|
||
|
|
||
|
Yahwe anatumia maswali na picha za kishairi kuvuta nadhari hapa. Analinganisha matanga ya meli kwa mawingu na njiwa. Hii pia ni taswira ya Waisraeli kurudi katika nchi ambapo wanaishi. "Tazama, ninaona kitu kama mawingu yakisogea haraka na kama njiwa wakirudi katika makazi yao"
|
||
|
|
||
|
# Pwani
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya watu ambao wanaishi katika pwani na inafafanua eneo la pwani kana kwamba ilikuwa watu wakiangalia nje. "Watu kutoka pwani"
|
||
|
|
||
|
# meli za Tarshishi
|
||
|
|
||
|
Msemo huu kawaida una maana ya meli kubwa za biashara zinazofaa kwa safari ndefu.
|
||
|
|
||
|
# Mtakatifu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
Mtakatifu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
# amekuheshimu
|
||
|
|
||
|
"Yahwe amekuheshimu, watu wa Israeli"
|