forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
649 B
Markdown
20 lines
649 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Isaya anaendelea kumfafanua mtumishi wa Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# Alikandamizwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Walimtendea kwa ukatili"
|
||
|
|
||
|
# hakufungua kinywa chake
|
||
|
|
||
|
"Kinywa" inawakilisha kile ambacho mtu husema. Kufungua kinywa cha mtu ina maana ya kuongea. "hakupinga"
|
||
|
|
||
|
# kama mbuzi ambaye huongozwa machinjioni, na kama kondoo aliye mbele ya wakata manyoya alivyo mtulivu
|
||
|
|
||
|
Isaya analinganisha mtumishi kwa mbuzi na kondoo kusisitiza ya kwamba atabaki kimya wakati watu wakimdhuru na kumuaibisha.
|
||
|
|
||
|
# kama mbuzii ambaye huongozwa machinjioni
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kama mbuz alivyo kimya mtu anapomchinja"
|