forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
877 B
Markdown
20 lines
877 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Isaya anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Jikung'ute kutoka mavumbini; amka na ukae, Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
Hapa "Yerusalemu" inawakilisha watu wanaoishi kule. "Watu wa Yerusalemu, simama wima na ukung'ute uchafu kutoka kwako"
|
||
|
|
||
|
# ondoa mnyororo kutoka shingoni mwako, mfungwa
|
||
|
|
||
|
Inaonyeshwa ya kwamba watu wa Yerusalemu walikuwa wakivaa minyororo kwa sababu walikuwa watumwa walipokuwa uhamishoni Babeli. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi.
|
||
|
|
||
|
# binti Sayuni
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. "binti" wa mji ina maana watu wa mji ule. "watu wa Sayuni" au "watu ambao wanaishi Sayuni"
|
||
|
|
||
|
# Uliuzwa bure, na utakombolewa bila fedha
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumzia kuhusu Yahwe kana kwamba alikuwa mmiliki wa watu wa Israeli. Kwa kuwa ni mmiliki halali anaweza kuwatoa au kuwarudisha atakavyotaka. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. :Nimekuuza bure, na nitakukomboa bila fedha"
|