forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
936 B
Markdown
24 lines
936 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# ambao mna sheria yangu mioyoni mwenu
|
||
|
|
||
|
Kuwa na sheria ya Mungu moyoni inawakilisha kujua sheria ya Mungu na kutaka kuitii. "ambaye anajua na kuinua sheria yangu"
|
||
|
|
||
|
# wala msivunjwe mioyo kwa matusi yao
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "na usipoteze ujasiri wako watakapokuumiza"
|
||
|
|
||
|
# Kwa maana nondo watawala kama vazi, na funza watawala kama sufu
|
||
|
|
||
|
Mungu anazungumzia watu kutukana wale ambao wana haki kana kwamba walikuwa mavazi ya sufu, na kuangamizwa kwao kana kwamba wadudu waliwala.
|
||
|
|
||
|
# haki yangu itakuwa milele
|
||
|
|
||
|
"haki" ya Mungu hapa inawakilisha yeye kutawala kwa haki. "utawala wangu wa haki hautakuwa na mwisho" au "nitatawala kwa haki milele"
|
||
|
|
||
|
# na wokovu wangu kwa vizazi vyote
|
||
|
|
||
|
"wokovu" wa Mungu hapa unawakilisha matokeo ya wokovu wake, ambayo ni uhuru. Kuwa "kwa vizazi vyote" inawakilisha kudumu milele. "Nitakuokoa, na utakuwa huru milele"
|