forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
676 B
Markdown
16 lines
676 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mtumishi wa Yahwe anaendelea kuzungumza.
|
||
|
|
||
|
# kwa hiyo sijaaibika
|
||
|
|
||
|
Ingawa mtumishi ametendewa vibaya, hataaibika kwa sababu amemtii Yahwe. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kwa hiyo sitaaibika"
|
||
|
|
||
|
# kwa hiyo nimefanya uso wangu kama jiwe gumu
|
||
|
|
||
|
Hapa "uso wangu" una maana ya mtumishi. Mtumishi kuwa na nia imara ya kumtii Yahwe inazungumziwa kana kwamba uso wake ulikuwa mgumu kama jiwe. "kwa hiyo nina nia dhahiri"
|
||
|
|
||
|
# kwa maana najua sitapatwa na aibu
|
||
|
|
||
|
Mtumishi huyu anatazama muda ujao kwa uhakika, salama katika wito wa Yahwe. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kwa maana najua ya kwamba maadui wangu hawataweza kunifanya nihisi aibu"
|