sw_tn/isa/48/21.md

4 lines
179 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Hawakupata kiu ...maji yalimwagiika nje
Hii ina maana ya tukio katika historia ya watu wa Israeli pale Yahwe alipowatunza walipokuwa wakiishi jangwani baada ya kutoroka Misri.