forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
431 B
Markdown
12 lines
431 B
Markdown
|
# Ni kana kwamba alikuwa akila majivu
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumzia mtu kuabudu sanamu kana kwamba mtu huyo alikuwa akila majivu yaliiyochomwa ya mbao kutoka pale alipotengenezea sanamu. Kama vile kula majivu haimpi mtu faida, wala kuabudu sanamu.
|
||
|
|
||
|
# moyo wake uliodanganywa humpotosha
|
||
|
|
||
|
Moyo unawakilisha undani wa mtu. "anajipotosha kwa sababu amedanganywa"
|
||
|
|
||
|
# Hawezi kujiokoa mwenyewe
|
||
|
|
||
|
"Mtu ambaye huabudu sanamu hawezi kujiokoa mwenyewe"
|