forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
683 B
Markdown
16 lines
683 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Kwa maana una thamani na wa kipekee machoni mwangu
|
||
|
|
||
|
Maneno "thamani" na "kipekee" yana maana moja na yanasisitiza jinsi gani Yahwe huthamini watu wake. "Kwa sababu wewe ni wa thamani kwangu"
|
||
|
|
||
|
# kwa hiyo nitawapa watu kwa kubadilishana kwa ajili yako, na watu wengine kwa kubadilishana kwa maisha yako
|
||
|
|
||
|
Misemo yote ina maana moja. "kwa hiyo nitaruhusu adui kuwashinda watu wengine badala yako"
|
||
|
|
||
|
# Nitaleta watoto wako kutoka mashariki, kukukusanya kutoka magharibi
|
||
|
|
||
|
Pande "mashariki" na "magharibi" huunda neno lenye maana ya kundi na linawakilisha kila upande. "Nitakuleta wewe na wtoto wako kutoka kila upande"
|