forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
945 B
Markdown
24 lines
945 B
Markdown
|
# Nyama yote ni nyasi
|
||
|
|
||
|
Neno "nyama" lina maana ya watu. Msemaji anazungumza kuhusu wanadamu kana kwamba ni nyasi, kwa sababu wote hufa haraka. "Watu wote ni kama nyasi"
|
||
|
|
||
|
# agano lao la uaminifu ni kama maua ya shambani
|
||
|
|
||
|
Msemaji analinganisha agano la uaminifu la watu kwa maua ambayo huchanua na kisha kufa haraka. "agano lao la uaminifu lote huisha haraka, kama ua wa shamba liinavyokufa haraka"
|
||
|
|
||
|
# uaminifu wa agano
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa 1) agano la uaminifu au 2) uzuri.
|
||
|
|
||
|
# pumzi ya Yahwe itakapopuliza juu yake
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa 1) "Yahwe atakapopuliza pumzi yake juu yake" au 2) "Yahwe atakapotuma upepo kupuliza juu yake".
|
||
|
|
||
|
# ubinadamu ni nyasi
|
||
|
|
||
|
Msemaji anazungumzia wanadamu kana kwamba ni nyasi, kwa sababu wote hufa haraka. "watu hufa haraka kama nyasi"
|
||
|
|
||
|
# neno la Mungu wetu litasimama milele
|
||
|
|
||
|
Msemaji anazungumza kile Mungu anasema kudumu milele kana kwamba neno lake husimama milele. "vitu ambavyo Mungu wetu wanasema vitadumu milele"
|