forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
517 B
Markdown
20 lines
517 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Hezekia anaendelea kuomba kwa Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# kwa maana hawakuwa miungu lakini kazi ya mikono ya watu, mabao na mawe tu
|
||
|
|
||
|
Hii inasisitiza ya kwamba wanadamu walifanya sanamu hizi kwa mikono yao wenyewe na kwa hiyo hazina thamani. "kwa sababu ilikuwa miungu ya uongo ambayo watu walitengeneza kwa mbao na mawe"
|
||
|
|
||
|
# kutoka katika nguvu yake
|
||
|
|
||
|
"kutoka kwa mfalme wa nguvu ya Ashuru"
|
||
|
|
||
|
# falme zote
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya watu katika falme. "watu wote katka falme"
|
||
|
|
||
|
# wewe ni Yahwe pekee
|
||
|
|
||
|
"wewe tu, Yahwe, ni Mungu"
|