forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
930 B
Markdown
28 lines
930 B
Markdown
|
# katika mkono wa wajumbe
|
||
|
|
||
|
Hapa wajumbe wanamaanishwa kwa "mkono" wao kusisitiza ya kwamba walimpatia mfalme wao binafsi. "ambayo wajumbe walimpatia"
|
||
|
|
||
|
# akaelekea juu katika nyumba ya Yahwe
|
||
|
|
||
|
Nyumba ya Yahwe ilikuwa katika sehemu ya juu Yerusalemu, kwa hiyo inazungumziwa kama "juu".
|
||
|
|
||
|
# kuikunjua mbele yake
|
||
|
|
||
|
"kuikunjua barua mbele ya Yahwe". Kuwa katika nyumba ya Yahwe inachukuliwa sawa na kuwa katika uwepo wa Yahwe. Barua ilikuwa hati ya kukunja ambayo inaweza kufunulia na kutandikwa.
|
||
|
|
||
|
# wewe unayekaa juu ya makerubi
|
||
|
|
||
|
Hapa Hezekiia anazungumza kuhusu Yhwe kuwepo ndani ya hekalu. Maana ya hii inaweza kuwekwa wazi. "wewe ambaye upo hapa pamoja na makerubi"
|
||
|
|
||
|
# wewe ni Mungu pekee
|
||
|
|
||
|
"wewe tu ni Mungu"
|
||
|
|
||
|
# juu ya falme zote
|
||
|
|
||
|
Lahaja hii ina maana ya kuwa na mamlaka na kutawala juu ya falme zote. "kuwa na mamlaka juu ya falme zote"
|
||
|
|
||
|
# Ulitengeneza mbingu na dunia
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kwamba aliumba kila kitu. "Uliumba kila kitu"
|