forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
785 B
Markdown
24 lines
785 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Kamanda mkuu anaendelea kuzungumza na watu wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# Fanya amani na mimi
|
||
|
|
||
|
Lahaja hii ina maana ya kukubali rasmi kutenda kwa amani kwa mtu mwingine. "Tukubaliane kuwa na amani"
|
||
|
|
||
|
# jitokeze uje kwangu
|
||
|
|
||
|
Lahaja hii ina maana ya kujisalimisha. "jisalimishe kwangu"
|
||
|
|
||
|
# hadi ntakapokuja na kuchukua
|
||
|
|
||
|
Hapa mfalme wa Ashuru anamaanihsa kwa jeshi lake kama yeye mwenyewe. "hadi jeshi langu litakapokuja na kuchukua"
|
||
|
|
||
|
# nchi ya nafaka na divai mpya, nchi ya mkate na mashamba ya mizabibu
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwili ina maana moja na inatumika pamoja kwa ajili ya msisitizo jinsi nchi itakavyokuwa na mafanikio.
|
||
|
|
||
|
# nchi ya nafaka ... nchi ya mkate
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kwamba nchi imejaa rasilimali, kama vile nafaka. "nchi ambapo kuna nafaka nyingi ... nchi ambapo kuna mkate mwingi"
|