sw_tn/isa/35/08.md

28 lines
1.0 KiB
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Taarifa ya Jumla
Mistari hii naendeleza ufafanuzi wa utukufu ujao wa watu wa Mungu.
# Barabara itakuwa pale inayoitwa Njia Takatifu
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Barabara itakuwa pale ambayo iatkuwa na jina Njia Takatifu"
# barabara
Mtoto mdogo atawatunza na kuwaongoza katika sehemu nzuri kunywa maji na kula nyasi.
# wachafu
Hii ina maana ya watu wasio safi. Mtu ambaye Mungu humchukulia kutokubalika kiroho au najisi anazungumziwa kana kwamba mtu alikuwa mchafu kimwili. "Wale ambao na wachafu" au "Watu ambao hawakubaliki kwa Mungu"
# yule atembeaye ndani yake
Hii ni lahaja. Hapa "kutembea" ina maana ya "kuishi". Hii ina maana ya mtu ambaye anaishi maisha matakatifu. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "yule ambaye anaishi katika njia ya utakatifu" au "yule ambaye huishi maisha ya utakatifu"
# hawatapatikana pale
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "hakuna mtu atakayewakuta kule"
# waliokombolewa
Hii ina maana ya watu ambao Mungu amewakomboa. "wale ambao wamekombolewa" au "wale ambao Mungu kawakomboa"