forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
614 B
Markdown
24 lines
614 B
Markdown
|
# Inuka
|
||
|
|
||
|
"Simama" au "Zingatia kwa makini"
|
||
|
|
||
|
# mliotulia
|
||
|
|
||
|
"salama" au "kuwa huru"
|
||
|
|
||
|
# sauti yangu
|
||
|
|
||
|
Isaya ana maana yake mwenyewe kwa sauti yake kusisitiza kiile anachosema. "mimi kuongea"
|
||
|
|
||
|
# imani yenu itavunjwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. Pia, Isaya anazungumzia wao kutokuwa na imani kana kwamba imani ilikuwa kitu cha kimwili ambacho kinaweza kuvunjwa. "hautakuwa na imani tena"
|
||
|
|
||
|
# mavuno ya zabibu yatashindwa
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kwamba hapatakuwa na mizabibu mizuri ya kuvuna. "hapatakuwa na mizabibu kwa ajili yako kuvuna"
|
||
|
|
||
|
# makusanyo hayatakuja
|
||
|
|
||
|
"kipindi cha makusanyo ya nafaka hakutatokea"
|