forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
838 B
Markdown
20 lines
838 B
Markdown
|
# Misri ni mwanamume
|
||
|
|
||
|
Hapa Misri ina maana ya wanajeshi wa Misri. "Wanajeshi wa Misri ni wanamume"
|
||
|
|
||
|
# farasi wao ni nyama na sio roho
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kwamba farasi wao ni farasi tu na sio viumbe vya kiroho. "farasi wao ni farasi tu; sio roho zenye uwezo!"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe atakapofikia kwa mkono wake
|
||
|
|
||
|
Msemo "mkono" mara kwa mara hutumika kwa kumbukumbu ya matendo na uwezo wa Mungu. "Yahwe hutumia uwezo wake dhidi yao"
|
||
|
|
||
|
# wote yule anayesaidia atajikwaa, na yule anayesaidiwa ataanguka
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwili kimsingi ina maana moja. Kujikwaa na kuanguka ni sitiari ya kushindwa. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "vitu hivi viwili vitatokea: nitaiangamiza Misri, inayokusaidia, na nitakuangamiza wewe, ambaye Misri inasaidia"
|
||
|
|
||
|
# yule anayesaidiwa ataanguka
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "yule ambaye anatafuta msaada"
|