forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
403 B
Markdown
12 lines
403 B
Markdown
|
# watu wangu
|
||
|
|
||
|
Hapa "wangu" ina maana ya Isaya. Pia "watu" ina maana ya watu wa Israel.
|
||
|
|
||
|
# hadi pale hasira itakapopita
|
||
|
|
||
|
"hadi Yahwe atakapokuwa hana hasir ana sisi tena"
|
||
|
|
||
|
# dunia itafunua damu yake, na haitaficha tena waliouwawa wa kwake
|
||
|
|
||
|
Yahwe kufunua mauaji yote ambayo yamefanyika duniani ili kwamba aweze kuadhibu inazungumziwa kana kwamba dunia yenyewe itamfunua kila mmoja ambaye alikuwa ameuawa.
|