sw_tn/isa/16/08.md

16 lines
576 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Taarifa ya Jumla
Hii inaendeleza unabii kuhusu watu wa Moabu. Mungu anafafanua matukio ambayo yatatokea katika siku za usoni kana kwamba zilitokea katika kipindi cha nyuma.
# Heshboni
Haya ni majina ya miji mikubwa na miji midogo.
# Sibma ... Yazeri
Haya ni majina ya miji.
# Watawala wa mataifa wamekanyaga mizabibu iliyo bora
Nchi ya Moabu ilijulikana kwa mashamba yake ya mizabibu. Hapa Mungu anafafanua nchi ya Moabu kama shamba moja kubwa la mizabibu. Hii inasisitiza ya kwamba watawala, ambao ina maanisha majeshi, waliangamiza kabisa kila kitu ndani ya Moabu.