forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
827 B
Markdown
24 lines
827 B
Markdown
|
# Kauli Kiunganishi
|
||
|
|
||
|
Hii ni sehemu ya wimbo wa dhihaki ambao Waisraeli wataimba kwa mfalme wa Babeli.
|
||
|
|
||
|
# Ingawa sasa unaletwa chini kuzimu
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Lakini sasa Mungu amekutuma chini mpaka kuzimu"
|
||
|
|
||
|
# Je! huyu ni mtu
|
||
|
|
||
|
Watu watatumia swali hili aidha kumdhihaki mfalme wa Babeli, au kuonyesha mshangao wao ya kile kilichotokea kwake. "Hakika, huyu siye mwanamume"
|
||
|
|
||
|
# aliyefanya dunia kutetemeka
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa 1) dunia inatetemeka jeshi la mfalme lilipotembea kuwashinda watu, au 2) hii ina maana ya watu wa dunia kutetemeka kwa hofu juu yake.
|
||
|
|
||
|
# kutikisa falme
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa 1) hii sitiari kwa ajili ya "falme zilizodhindwa" au 2) huu ni mfano wa maneno kwa ajili ya "alitisha watu wa falme".
|
||
|
|
||
|
# aliyeifanya dunia kama nyika
|
||
|
|
||
|
"ambaye alifanya maeneo ambao watu waliishi kuwa nyika"
|