sw_tn/isa/09/06.md

32 lines
1.3 KiB
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla
Isaya anaendelea kufafanua kipindi ambapo Mungu atawaokoa watu wa Israeli (9:1). Ingawa matukiio haya yatatokea katika siku za usoni za Isaya, anaelezea kana kwamba yamekwisha tokea. Hii inasisitiza ya kwamba hakika vitatokea.
# Kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, kwetu mwana ametolewa
Misemo hii miwili ina maana moja. Neno "yetu" ina maana ya wote msemaji na mskilizaj na kwa hiyo ziko pamoja. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Kwa maana Bwana atatoa kwetu mtoto"
# utawala utakuwa juu ya bega lake
"atakuwa na mamlaka ya kutawala kama mfalme" au "Yahwe atamfanya awe na wajibu wa kutawala"
# Mshauri
yule ambaye anashauri wafalme
# Katika ongezeko la ufalme wake na wa amani hatukauwa na mwisho
"Kadri muda unavyopita atatawala juu ya watu zaidi na zaidi na kuwawezesha kuishi kwa amani zaidi na zaidi"
# anapotawala katika kiti cha enzi cha Daudi
Kukaa katika "kiti cha enzi cha Daudi" ni mfano wa maneno ya kuwa na haki ya kutawala; uzao wa Daudi pekee unweza kuwa mfalme juu ya Israeli. "ana haki ya kutawala kama uzao wa Daudi"
# ufalme wake, kuuimarisha na kuuhimili kwa haki na kwa haki
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "ufalme wake". Ataimarisha na kulinda ufalme wake, na atafanya kilicho haki"
# Yahwe wa majeshi
Yahwe wa majeshi wa Israeli