forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
948 B
Markdown
32 lines
948 B
Markdown
|
# Kwa sababu watu hawa wamekataa maji ya pole pole ya Shiloa
|
||
|
|
||
|
Maneno "maji ya pole pole" ni sitiari kwa ajili ya sheria ya Mungu. "Kwa sababu watu hawa wamekataa sheria ya Yahwe, ambayo ni kama maji ya pole pole ya Shiloa"
|
||
|
|
||
|
# watu hawa
|
||
|
|
||
|
"kundi hili la watu". "watu hawa wamekataa ... wana furaha"
|
||
|
|
||
|
# na wana furaha juu Resini na mwana wa Remalia
|
||
|
|
||
|
Maana kamili inaweza kuwekwa wazi. "na wana furaha ya kwamba majeshi ya AShuru yameshinda Resini, mfalme wa Aramu, na Peka, mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# kwa hiyo Bwana
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumza juu yake kana kwmba alikuwa mtu mwingine kuwakumbusha watu yeye ni nani. "kwa hiyo, Mimi, Bwana, ni"
|
||
|
|
||
|
# kuleta juu yao
|
||
|
|
||
|
Kitenzi ni "kuleta juu"; kielezi ni "juu yao".
|
||
|
|
||
|
# juu yao
|
||
|
|
||
|
"ju ya watu wa Yuda"
|
||
|
|
||
|
# maji ya Mto, yenye nguvu na mengi, mfalme wa Ashuru na utukufu wake wote
|
||
|
|
||
|
Mto unaashiria jeshi la Ashuru. "jeshi kutoka Ashuru, ambalo lina nguvu kama mto wenye nguvu"
|
||
|
|
||
|
# Mto
|
||
|
|
||
|
Mto Frati katika Ashuru
|