sw_tn/gen/49/27.md

4 lines
269 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Benjamini ni mbwamwitu mwenye njaa
Hapa "Benyamini" ni lugha nyingine ya uzao. Yakobo anazungumzia juu ya uzao wa Benyamini kana kwamba ulikuwa mbwa mwitu wenye njaa. Hii inasisitiza ya kwamba watakuwa wapiganaji hodari. "Uzao wa Benyamini watakuwa kama mbwa mwitu"