forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
504 B
Markdown
16 lines
504 B
Markdown
|
# ndugu zako watakusifu ... Wana wa baba yako watainama mbele zako
|
||
|
|
||
|
Kauli hizi mbili zina maana moja.
|
||
|
|
||
|
# watakusifu. Mkono wako
|
||
|
|
||
|
Sentensi ya pili inaeleza sababu ya sentensi ya kwanza. Neno "kwa" au "kwa sababu" linaweza kuongezwa kuweka hii wazi. "nitakusifu wewe. Kwa mkono wako" au "nitakusifu kwa sababu mkono wako"
|
||
|
|
||
|
# Mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya kusema. "Utawashinda adui zako"
|
||
|
|
||
|
# watainama
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana kuinama kwa unyenyekevu kuonyesha heshima na taadhima kwa mtu.
|