forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
302 B
Markdown
12 lines
302 B
Markdown
|
# Haya ni majina
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya majina ya watu ambao mwandishi anataka kuwaorodhesha.
|
||
|
|
||
|
# ya watoto wa Israeli
|
||
|
|
||
|
"ya watoto wa familia ya Israeli"
|
||
|
|
||
|
# Hanoki na Palu na Hezroni na Karmi ... Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli ... Gershoni, Kohathi, na Merari
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanamume.
|