sw_tn/gen/42/21.md

24 lines
1.1 KiB
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# kwani tuliona tabu ya nafsi yake
Neno "nafsi" ina maana ya Yusufu. "kwa sababu tuliona jinsi gani Yusufu alivyotaabika" au "kwa sababu tuliona ya kwamba Yusufu aliteseka"
# Kwa hiyo taabu hii imeturudia
Nomino inayojitegemea "taabu" inaweza kuwekwa kama kitenzi "kuteseka" "Ndio maana tunateseka hivi sasa"
# Je sikuwambia, 'Msitende dhambi juu ya kijana,' lakini hamkusikia?
Rubeni anatumia swali kuwakaripia ndugu zake. "Niliwaambia kutomuumiza kijana, lakini hamkunisikiliza!"
# Je sikuwambia, 'Msitende dhambi juu ya kijana'
Hii inaweza kuwa nukuu ndani ya nukuu. Inaweza kuwekwa kama nukuu isiyo moja kwa moja. "Je sikuwaambia msimtendee dhambi kijana" au "Niliwaambia msimdhuru kijana"
# Basi, tazama
Hapa "basi" haimaanishi "katika muda huu" lakini yote maneno "Sasa" na "tazama" yanatumika kuvuta nadhari kwa lengo muhimu linalofuata.
# damu yake inatakiwa juu yetu
Hapa "damu" ina maana ya kifo cha Yusufu. Ndugu zake walidhani Yusufu alikufa. Msemo "inatakiwa juu yetu" una maana wanatakiwa kuadhibiwa kwa kile walichokifanya. "tunapata kile tunachostahili kwa kifo chake" au"tunateseka kwa kumuua yeye"