forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
505 B
Markdown
12 lines
505 B
Markdown
|
# Akakusanya ... kukiweka
|
||
|
|
||
|
Hapa "Akakusanya" ina maana ya watumishi wa Yusufu. "Yusufu aliwaamuru watumishi wake kukusanaya ... Wakaweka"
|
||
|
|
||
|
# Yusufu akahifadhi nafaka kama mchanga wa bahari
|
||
|
|
||
|
Hii inalinganisha nafaka na mchanga wa bahari kuweka msisitizo wa idadi yake kubwa. "Nafaka ambayo Yusufu alihifadhi ilikuwa nyingi kama mchanga wa baharini.
|
||
|
|
||
|
# Yusufu akahifadhi ... akaacha
|
||
|
|
||
|
Hapa "Yusufu" na "akahifadhi" ina maana ya watumishi wa Yusufu. "Yusufu aliwafanya watumishi wake wahifadhi ... wakaacha"
|