forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.0 KiB
Markdown
40 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Mkuu wa wanyweshaji anaendelea kuzungumza na Farao.
|
||
|
|
||
|
# Pamoja nasi kulikuwa
|
||
|
|
||
|
"Gerezani kulikuwa na mkuu wa waokaji na mimi"
|
||
|
|
||
|
# kapteni wa walinzi
|
||
|
|
||
|
Askari msimamizi wa walinzi wa kifalme.
|
||
|
|
||
|
# Tulimwambia na akatutafsiria ndoto zetu
|
||
|
|
||
|
"Tulimwambia ndoto zetu na kutueleza maana zake kwetu"
|
||
|
|
||
|
# Alitutafsiria kila mmoja wetu kulingana na ndoto yake
|
||
|
|
||
|
Hapa "yake" ina maana ya mnyweshaji na muokaji mmoja mmoja, sio kwa yule anayetafsiri ile ndoto. "Alifafanua kile kilichokuwa kinakuja kutokea kwetu wawili"
|
||
|
|
||
|
# Ikawa
|
||
|
|
||
|
Msemo huu unatumika kuweka alama ya tukio muhimu la simulizi.
|
||
|
|
||
|
# alivyotutafsiria, ndivyo ilivyokuwa
|
||
|
|
||
|
"alivyotafsiri kuhusu ndoto ndivyo kilichotokea hapo baadae"
|
||
|
|
||
|
# Farao alinirudisha katika nafasi yangu
|
||
|
|
||
|
Hapa mnyweshaji anatumia jina la Farao katika kuongea naye kama njia ya kumheshimu yeye. "Uliniruhusu nirudi katika kazi yangu!"
|
||
|
|
||
|
# yule mwingine
|
||
|
|
||
|
"mkuu wa waokaji"
|
||
|
|
||
|
# akamtundika
|
||
|
|
||
|
Hapa "akamtundika" ina maana ya Farao. Na ina maana ya maaskari ambao Farao aliwaamuru kumnyonga mkuu wa waokaji. "uliwaamuru maaskari wako kumnyonga"
|