forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
422 B
Markdown
16 lines
422 B
Markdown
|
# Basi Yakobo
|
||
|
|
||
|
"basi" inatumika hapa kuweka alama ya badiliko kutoka kwa simulizi kwenda kwa taarifa ya nyuma kuhusu Yakobo.
|
||
|
|
||
|
# Yakobo akasikia kwamba alikuwa
|
||
|
|
||
|
Neno "alikuwa" lina maana ya Shekemu
|
||
|
|
||
|
# alikuwa amemchafua
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kwamba Shekemu alivunja sana heshima na kumuabisha Dina kwa kumlazimisha alale naye.
|
||
|
|
||
|
# akawangoja
|
||
|
|
||
|
Hii ni namna ya kusema ya kwamba Yakobo hakusema au kufanya jambo kuhusu suala hili.
|