sw_tn/gen/34/01.md

28 lines
794 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Basi
Hapa neno hili linatumika kuweka alama kwa sehemu mpya ya simulizi.
# Dina
Hili ni jina la binti wa Lea.
# Mhivi
Hili li jina la kundi la watu.
# mwana wa mfalme wa nchi
Hii ina maana ya Hamori na sio Shekemu. Pia "mwana wa mfalme" hapa haimaanishi mtoto wa mfalme. Ina maana ya Hamori alikuwa kiongozi wa watu katika eneo hilo.
# akamkamata kwa nguvu na kulala naye
Shekemu alimbaka Dina.
# Akavutiwa na Dina
"Alivutiwa sana na yeye". Hii inazungumzia juu ya Shekemu kumpenda Dina na kutaka kuwa naye kana kwamba kuna jambo lililokuwa likimlazimisha kwenda kwa Dina. Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Alitaka sana kuwa na Dina"
# kuongea naye kwa upole
Hii ina maana aliongea naye kwa upole kumuaminisha ya kwamba alimpenda na kwamba alimtaka pia ampende yeye.