forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1.0 KiB
Markdown
28 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Mungu wa baba yangu Ibrahimu, na Mungu wa baba yangu Isaka, Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hii haimanishi mungu wawili, lakini kwa Mungu mmoja wanaomuabudu wote. "Yahwe, ambaye ni Mungu wa babu yangu Abrahamu na baba yangu Isaka"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe, aliyeniambia, 'Rudi katika nchi yako na kwa jamaa yako, nami nitakustawisha
|
||
|
|
||
|
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Inaweza kuwekwa kama nukuu isyo moja kwa moja. "Yahwe, wewe uliyesema ya kwamba nirudi katika nchi na kwa jamaa yangu, na kwamab utanifanikisha"
|
||
|
|
||
|
# na kwa jamaa yako
|
||
|
|
||
|
"na kwa familia yako"
|
||
|
|
||
|
# nitakustawisha
|
||
|
|
||
|
"Nitafanya mema kwako" au "Nitakutendea mema"
|
||
|
|
||
|
# Mimi sistahili matendo yako yote ya agano la uaminifu na ustahilifu wote uliomfanyia mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Nomino zinazojitegemea "uaminifu" na "mkweli" inaweza kuwekwa kama "mwaminifu". "Sistahili wewe uwe mwaminifu kwa agano lako au kwako kuwa mwaminifu kwangu, mtumishi wako"
|
||
|
|
||
|
# mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya upole ya kusema "mimi"
|
||
|
|
||
|
# sasa nimekuwa matuo mawili
|
||
|
|
||
|
Hapa "nimekuwa" inamaana ya kile ambacho anacho sasa. "na sasa nina watu wa kutosha, mifugo, na mali kutengeneza kambi mbili"
|