forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
543 B
Markdown
12 lines
543 B
Markdown
|
# Rundo hili ni shahidi
|
||
|
|
||
|
Marundo haya ya mawe yalikuwa tendo ya kumbukumbu na alama ya mpaka kwa Yakobo na Labani kuhusu makubaliano yao ya amani. Yanazungumzwa kana kwamba ni mashahidi kama watu.
|
||
|
|
||
|
# Mungu wa Ibrahimu, na mungu wa Nahori, miungu ya baba zao, waamue kati yetu
|
||
|
|
||
|
Abrahamu ni babu yake Yakobo. Nahori ni babu yake Labani. Baba wa Abrahamu na Nahori ni Tera. Sio wote walimuabudu Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# Hofu ya Isaka baba yake
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "Hofu" lina maana ya Yahwe, ambaye Isaka alimheshimu kwa ndani na kuonyesha heshima hiyo kwa kumtii yeye.
|