forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
769 B
Markdown
20 lines
769 B
Markdown
|
# kwa sababu niliogopa na kudhani kuwa ungeninyang'anya binti zako kwa nguvu ndiyo maana nikaondoka kwa siri
|
||
|
|
||
|
"Niliondoka kwa siri kwa sababu niliogopa ya kwamba ungewachukua binti zako kutoka kwangu kwa lazima"
|
||
|
|
||
|
# Yeyote aliyeiiba miungu yako hataendelea kuishi
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya chanya. "Tutamuua yeyote aliyechukua miungu yako"
|
||
|
|
||
|
# Mbele ya ndugu zetu
|
||
|
|
||
|
Neno "zetu" lina maana ya ndugu wa Yakobo na inajumuisha ndugu za Labani. Ndugu wote watatazama kuhakikisha kila kitu ni cha haki na kweli.
|
||
|
|
||
|
# onesha chochote kilichochako nilichonacho na uchukue
|
||
|
|
||
|
"tafuta chochote tulichonacho ambacho ni chako na uchukue"
|
||
|
|
||
|
# Kwa maana Yakobo hakujua kwamba Raheli alikuwa ameviiba
|
||
|
|
||
|
Hii inabadilisha kutoka kwa simulizi kwenda kwa taarifa ya nyuma kuhusu Yakobo.
|