forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
804 B
Markdown
24 lines
804 B
Markdown
|
# akatoa nadhiri
|
||
|
|
||
|
"akafanya kiapo" au "alimuahidi Mungu kwa dhati"
|
||
|
|
||
|
# Ikiwa Mungu atakuwa ... ndipo Yahwe atakapokuwa Mungu wangu
|
||
|
|
||
|
Yakobo anazungumza na Mungu katika lugha ya mtu wa utatu. Hii inaweza kusemwa katika lugha ya upili wa mtu. "Iwapo uta ... basi wewe, Yahwe, utakuwa Mungu ambaye nitamuabudu"
|
||
|
|
||
|
# katika njia nipitayo
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya safari ya Yakobo kutafuta mke na kurudi nyumbani. "katika safari hii"
|
||
|
|
||
|
# atanipa mkate wa kula
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkate" una maana ya chakula kwa ujumla.
|
||
|
|
||
|
# katika nyumba ya baba yangu
|
||
|
|
||
|
Hapa "nyumba" ina maana ya familia ya Yakobo. "kwa baba yangu na familia yangu iliyosalia"
|
||
|
|
||
|
# jiwe takatifu
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kwamba jiwe litaweka alama ya sehemu ambayo Mungu alijitokeza kwake na itakuwa sehemu ambapo watu watamuabudu Mungu. "nyumba ya Mungu" au "sehemu ya Mungu"
|