forked from WA-Catalog/sw_tn
48 lines
1.3 KiB
Markdown
48 lines
1.3 KiB
Markdown
|
# Ikawa kwamba katika wakati ule
|
||
|
|
||
|
Msemo huu unaweka alama ya mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
|
||
|
|
||
|
# Fikoli
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamume.
|
||
|
|
||
|
# kamanda wa jeshi lake
|
||
|
|
||
|
"kamanda wa jeshi lake"
|
||
|
|
||
|
# jeshi lake
|
||
|
|
||
|
neno "lake" lina maana ya Abimeleki.
|
||
|
|
||
|
# Mungu yuko pamoja na wewe katika yote uyatendayo
|
||
|
|
||
|
Hapa msemo "yuko pamoja nawe" ni lahaja yenye maana ya Mungu husaidia au humbariki Abrahamu. "Mungu hubariki kila kitu ufanyacho"
|
||
|
|
||
|
# Sasa basi
|
||
|
|
||
|
Neno "Sasa" halimaanishi "katika muda huu", lakini linatumika kuvuta nadhari kwa lengo muhimu linalofuata. "Sasa basi"
|
||
|
|
||
|
# niapie hapa kwa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja yenye maana ya kutoa kiapo cha dhati kinachoshuhudiwa na mamlaka ya juu, kwa hali hii ni Mungu. "niahidi mimi na Mungu kama shahidi"
|
||
|
|
||
|
# kwamba hutanifanyia baya
|
||
|
|
||
|
"ya kwamba hutanidanganya"
|
||
|
|
||
|
# kwamba hutanifanyia baya ... pamoja na uzao wangu
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa njia ya chanya. "utanifanyia haki mimi na uzao wangu"
|
||
|
|
||
|
# Onesha kwangu ... gano lile lile la uaminifu ambalo nimekuonesha wewe
|
||
|
|
||
|
Wanamume wawili walifanya agano kati yao. Kitenzi kinachojitegemea "umaninifu" kinaweza kuelezwa kama "mwaminifu" au "mtiifu". "Uwe mwaminifu kwangu na kwa nchi kama nilivyokuwa kwako"
|
||
|
|
||
|
# kwa nchi
|
||
|
|
||
|
Hapa "nchi" ina maana ya watu. "kwa watu wa nchi"
|
||
|
|
||
|
# nina apa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa taarifa iliyoeleweka. "Ninaapa kuwa mwaminifu kwako na kwa watu wako kama ulivyokuwa kwangu"
|