forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
769 B
Markdown
28 lines
769 B
Markdown
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Msemo wa "tazama" hapa unavuta nadhari juu ya taarifa ya kushangaza inayofuata.
|
||
|
|
||
|
# Nimeshika kusema
|
||
|
|
||
|
"Niwie radhi kwa kuwa wazi na kuzungumza na wewe" au "Samahani kwa kudiriki kuzungumza"
|
||
|
|
||
|
# kwa Bwana wangu
|
||
|
|
||
|
Abrahamu anaonyesha heshima kwa Yahwe kwa kuzungumza na Yahwe kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mwingine. "kwako wewe, Bwana wangu"
|
||
|
|
||
|
# mavumbi na majivu
|
||
|
|
||
|
Sitiari hii inamuelezea Abrahamu kama binadamu, ambaye atakufa na mwili wake kugeuka kuwa vumbi na majivu. "ni binadamu pekee" au "kama vile vumbi na majivu yasivyokuwa na umuhimu"
|
||
|
|
||
|
# watano pungufu katika idadi ya hao watakatifu hamsini
|
||
|
|
||
|
"watu arobaini na tano tu watakatifu"
|
||
|
|
||
|
# kwa upungufu wa hao watano
|
||
|
|
||
|
"iwapo kuna watu watano pungufu watakatifu"
|
||
|
|
||
|
# Sitaangamiza
|
||
|
|
||
|
"Sitaangamiza Sodoma"
|