forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
785 B
Markdown
20 lines
785 B
Markdown
|
# Nitamfutilia mbali mwanadamu ... katika uso wa nchi
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anamzungumzia Mungu kuua watu kana kwamba Mungu alikuwa akisafisha uchafu katika nchi tambarare. "Nitawaangamiza wanadamu ..ili kwamba kusiwepo na watu katika nchi"
|
||
|
|
||
|
# Nitamfutilia mbali mwanadamu ambaye nimemuumba
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya lugha hutafsiri hii kama sentensi mbili. "Niliumba mwanadamu. Nitamfutilia mbali"
|
||
|
|
||
|
# Nitamfutilia
|
||
|
|
||
|
"kuangamiza kabisa". Hapa "kuangamiza" inatumika katika hali ya hasi, kwa maana Mungu anazungumzia juu ya kuangamiza watu kwa sababu ya dhambi yake.
|
||
|
|
||
|
# Nuhu akapata neema ya upendeleo machoni pa Yahwe
|
||
|
|
||
|
"Yahwe alimtazama Nuhu kwa upendeleo" au "Yahwe alifurahishwa na Nuhu"
|
||
|
|
||
|
# machoni pa Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hapa "machoni" inamaana ya mtazamo au mawazo. "katika mtazamo wa Yahwe" au " katika mawazo ya Yahwe"
|