forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
652 B
Markdown
24 lines
652 B
Markdown
|
# Ada ... Sila
|
||
|
|
||
|
majina ya wanawake
|
||
|
|
||
|
# alikuwa baba yao na wale walioishi hemani
|
||
|
|
||
|
Maana yake yaweza kuwa 1) "Alikuwa binadamu wa kwanza kuishi hemani" au 2) "Yeye na uzao wake waliishi hemani"
|
||
|
|
||
|
# walioishi hemani ambao wanafuga wanyama
|
||
|
|
||
|
watu wanaoishi hemani na kufuga wanyama
|
||
|
|
||
|
# alikuwa baba yao na wale wapigao kinubi na filimbi
|
||
|
|
||
|
Maana yake yaweza kuwa 1) "Alikuwa mtu wa kwanza kupiga kinubi na filimbi" au 2) "Yeye na uzao wake walipiga kinubi na filimbi".
|
||
|
|
||
|
# Tubal Kaini, mfua vyombo vya shaba na chuma
|
||
|
|
||
|
"Yubal Kaini. alitengeneza vyombo vya shaba na chuma"
|
||
|
|
||
|
# chuma
|
||
|
|
||
|
Hii ni metali yenye nguvu sana iliyotumika kutengeneza vyombo, vifaa na silaha.
|