forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
658 B
Markdown
20 lines
658 B
Markdown
|
# Kaini akamwambia Habili ndugu yake
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya lugha zinahitaji kuongeza taarifa inayojitokeza ya kwamba Kaini alizungumza na ndugu yake kuhusu kwenda mashambani.
|
||
|
|
||
|
# ndugu
|
||
|
|
||
|
Habili alikuwa ndugu yake Kaini. Baadhi ya lugha zinaweza kutumia neno kwa ajili ya "ndugu mdogo"
|
||
|
|
||
|
# aliinuka dhidi
|
||
|
|
||
|
"alimshambulia"
|
||
|
|
||
|
# Ndugu yako Habili yuko wapi?
|
||
|
|
||
|
Mungu alijua ya kwamba Kaini alimuua Habili, lakini alimuuliza Kaini swali hili ili Kaini aweze kujibu.
|
||
|
|
||
|
# Je mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?
|
||
|
|
||
|
Kaini alitumia swali hili la balaghaili kukwepa kusema ukweli. Hii yaweza kutafsiriwa katika msemo. "Mimi sio mlinzi wa ndugu yangu!" au "Kumtunza ndugu yangu sio kazi yangu!"
|