forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.6 KiB
Markdown
40 lines
1.6 KiB
Markdown
|
# Maelezo ya kuhusisha
|
||
|
|
||
|
Hii inaendelea na agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra
|
||
|
|
||
|
# mji ngambo ya mto
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi mwa mto Efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Angalia ulivyotafsiri katika 4:9
|
||
|
|
||
|
# Chochote ambacho Ezra ataomba kwenu anapaswa kupewa chote
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. "Mpeni Ezra chote anacjooomba kwenu"
|
||
|
|
||
|
# anapaswa kupewa chote
|
||
|
|
||
|
Msemo "chote" hapa inamaanisha vyovyote muhimu vya kufanyia kazi. AT:"anapaswa kupewa vingi kadri anavyohitaji"
|
||
|
|
||
|
# talanta mia moja za fedha
|
||
|
|
||
|
"talanta 100 za fedha" Unaweza kuthamanisha hii kwa kiwango cha sasa. AT:"3,400 talanta za fedha" au "tani tatu na nusu"
|
||
|
|
||
|
# vipimo miavya ngano
|
||
|
|
||
|
Unaweza kuthamnisha katika kipimo cha sasa. 22,000 lita za ngano" au "ishirini na mbili elfu lita za ngano"
|
||
|
|
||
|
# bathi mia za mafuta
|
||
|
|
||
|
Unaweza kuzibadilisha katika kipimo cha sasa. AT:"22,000 lita za mafuta" au "lita elfu mbili za mafuta"
|
||
|
|
||
|
# nyumba yake
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha hekalu la Mungu
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini hasira yake ije kwenye ufalme wangu na watoto wangu?
|
||
|
|
||
|
Mfalme anatumia swali hili kusema kwamba hataki hasira ya mungu ifike kwao. Hii inaonyesha kwamba wasipompa ezra kile ambacho ametaka, ndipo Mungu ataupiga ufalme. AT:"Kwa kuwa hatutaki hasira ya Mungu ije kwetu katika ufalme wangu na watoto" au "kwa kuwa usipofanya vitu hivi , hasira ya Mungu itakuja juu ya ufalme wako na watoto wako"
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini hasira yake ije ufalme wangu na watoto wangu
|
||
|
|
||
|
Hasira ya Mungu inamaanisha Mungu kuwaadhibu wao.AT:"Kwa nini Mungu kuadhibu ufalme wangu na watoto" au :Kwa kuwa usipofanya vitu hivi, Mungu ataadhibu ufalme wangu na watoto"
|