forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
340 B
Markdown
16 lines
340 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki ambaye hutumika kama makuhani.
|
||
|
|
||
|
# na ninyi
|
||
|
|
||
|
Hili neno "ninyi" linarejea kwa watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# mali
|
||
|
|
||
|
nchi ambayo mtu humiliki na hutumia kuandaa kwa ajili ya mahitaji ya familia yake
|
||
|
|
||
|
# katika Israeli
|
||
|
|
||
|
"katika nchi ya Israeli"
|