forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
636 B
Markdown
36 lines
636 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Misri.
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa nitamwaga ghadhabu yangu juu Sini
|
||
|
|
||
|
"Kwa kuwa nitatenda hasira yangu juu ya Sini" au "Kwa sababu nina hsira sana, nitaiadhibu Sini mmoja mmoja"
|
||
|
|
||
|
# Sini
|
||
|
|
||
|
Huu ulikuwa mji wa muhimu kaskazini mwa Misri.
|
||
|
|
||
|
# kuwakatilia mbali kundi la Tebesi
|
||
|
|
||
|
"kuua hesabu kubwa ya watu katika Tebesi"
|
||
|
|
||
|
# Tebesi
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 30:13.
|
||
|
|
||
|
# Kisha nitaweka moto katika Misri
|
||
|
|
||
|
"nitaichoma Misri kwa moto"
|
||
|
|
||
|
# Tebesi itavunjwa
|
||
|
|
||
|
"Tebesi itaangamizwa."
|
||
|
|
||
|
# Kisha niweka moto katika Misri
|
||
|
|
||
|
"nitaichoma Misri kwa moto"
|
||
|
|
||
|
# itakuwa katika dhiki kuu
|
||
|
|
||
|
"itakuwa katika maumivu makali"
|