forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
541 B
Markdown
16 lines
541 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe ananena na Ezekieli kuhusu Ohola na Oholiba.
|
||
|
|
||
|
# na katika siku hiyo hiyo wakainajisi Sabato zangu
|
||
|
|
||
|
Neno "siku hiyo hiyo" linarejea kwa neno lililopita "fanya patakatifu pangu najisi." "na juu ya siku hiyo hiyo wamepafanya patakatifu pangu najisi, wamezinajisi Sabato zangu"
|
||
|
|
||
|
# wakaja hata patakatifu pangu siku hiyo hiyo kupanajisi
|
||
|
|
||
|
"wakaja kupanajisi patakatifu pangu siku hiyo hiyo wakiwachinja watoto wao kwa ajili ya miungu yao"
|
||
|
|
||
|
# tazama!
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho. "hasa!"
|