forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
411 B
Markdown
12 lines
411 B
Markdown
|
# Watakula mikate yao kwa kutetemeka na kunywa maji yao wakiwa wanatetemeka
|
||
|
|
||
|
Haya maneno mawili yana maana moja na kusisitiza kwamba watu wataogopa sana, hata wakati wa kufanya mambo ya msingi kama kula na kunywa.
|
||
|
|
||
|
# miji iliyokuwa wenyeji itahuzunishwa
|
||
|
|
||
|
"huzuni" inaeleza mahali ambapo hakuna mtu anayeishi. "watu katika miji wataondoka au kufa"
|
||
|
|
||
|
# mtajua kwamba mimi ni Yahwe
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika 6:6.
|