forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
884 B
Markdown
32 lines
884 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Roho anaendelea kunena na Ezekieli.
|
||
|
|
||
|
# siku hizi
|
||
|
|
||
|
siku Ezekieli alipolala chini upande wake wa kushoto kuelezea ngome ya ufalme wa Israeli
|
||
|
|
||
|
# utachukua uovu
|
||
|
|
||
|
"utakuwa na hatia ya uovu" au "utaadhibiwa kwa ajili ya uovu wao."
|
||
|
|
||
|
# Nyumba ya Yuda
|
||
|
|
||
|
Neno "nyumba" ni mfano wa familia iishiyo katika nyumba, katika kesi hii uzao wa Yuda zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu wa Yuda" au "watu wa Yuda"
|
||
|
|
||
|
# Nakuteua siku moja kwa kila mwaka
|
||
|
|
||
|
"Nitakufanya kufanya kufanya siku moja kwa kila mwaka ambao nitakughadhibu."
|
||
|
|
||
|
# tabiri juu yake
|
||
|
|
||
|
"tabiri kuhusu mambo mabaya yatakayotokea kwa Yerusalemu"
|
||
|
|
||
|
# tazama!
|
||
|
|
||
|
"ona!" au "sikiliza!" "kuwa makini kwa kile ninachotaka kukwambia!"
|
||
|
|
||
|
# Naweka vifungu juu yako
|
||
|
|
||
|
Vifungo ni kamba au minyororo inayomfanye mtu asitembee. Haiko wazi kama neno "vifungo" ni mfano kwa jambo Yahwe analolifanya ambalo ni kama alikuwa amemfunga Ezekieli
|