forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
564 B
Markdown
16 lines
564 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Kazi ya Bezaleli na kundi lake la endelea kujenga maskani na vivyombo vyake.
|
||
|
|
||
|
# Bezaleli akafanya ...
|
||
|
|
||
|
Kwa 37:7-9 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:15 na 25:19
|
||
|
|
||
|
# Nao wakawa makerubi wanaonyoosha mabawa yao mawili kuelekea juu, wakisitiri
|
||
|
|
||
|
Bezaleli aliweka sanamu za makerubi kana kwamba walikuwa ni wa kweli waliyo nyoosha mabawa yao na na kusitiri kiti cha rehema.
|
||
|
|
||
|
# Nyuso za makerubi hao zilielekea
|
||
|
|
||
|
Bezaleli aliweka sanamu za makerubi kana kwamba walikuwa ni wa kweli waliyo nyoosha mabawa yao na na kusitiri kiti cha rehema.
|