forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
427 B
Markdown
20 lines
427 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumuambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# taarifa ya uongo
|
||
|
|
||
|
Hii ni sawa na kudanganya au shuhuda ya uongo
|
||
|
|
||
|
# wala kutoa ushahidi
|
||
|
|
||
|
"na wewe husizungumze"
|
||
|
|
||
|
# ukiwa na umati
|
||
|
|
||
|
Hili ni fumbo linalo eleza mtu kukubaliana na kundi la watu kana kwamba alienda na kusimama na hilo kundi.
|
||
|
|
||
|
# kupotosha haki
|
||
|
|
||
|
fanya yasio halali au matendo yasio ya kijamii yenye matokeo ya uwamuzi usio haki
|