forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
643 B
Markdown
24 lines
643 B
Markdown
|
# ata kuwa na furaha moyoni mwake
|
||
|
|
||
|
Hapa "moyo" wa husu mawazo ya ndani na hisia.
|
||
|
|
||
|
# eka maneno ya kusema modomoni mwake
|
||
|
|
||
|
Maneno hapa yanazungumzwa kama ni vitu vinavyo weza kuwekwa mdomoni mwa mtu. Hapa maneno yana maana ya ujumbe.
|
||
|
|
||
|
# nitakuwa na mdomo wako
|
||
|
|
||
|
Neno "mdomo" hapa lina wakilisha uchaguzi wa maneno ya Musa.
|
||
|
|
||
|
# mdomo wake
|
||
|
|
||
|
Neno "mdomo" hapa lina wakilisha uchaguzi wa maneno ya Aruni.
|
||
|
|
||
|
# Ata kuwa na mdomo wako
|
||
|
|
||
|
Neno "mdomo" hapa lina wakilisha marudio ya yale Aruni aliyo ambiwa na Musa.
|
||
|
|
||
|
# utakuwa kwake kama kwangu, Mungu
|
||
|
|
||
|
Neno "kama" hapa la maanisha Musa ata wakilisha mamlaka hayo kwa Aruni kama Mungu alivyo fanya kwa Musa.
|